Тональность: Ab major
Verse 1
G
C
Iyee iyeee iyee iyee
G
D
Iyee iyee mmhhh
Verse 2
G
C
Maisha yangu yanawewe
G
kwako mim nimeliweka
C
G
Msaada Wa karibu bwana
G
nanitakutuza
C
Nitapolemewa na mizigo
G
Magonjwa na mateso sina
C
G
D
G
wasiwasi tena
C
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
G
Gongo lako na fimbo yako
vinanifariji bwana
D
Verse 3
G
Umenifanya wa thamani umenitoa
G
Umenikung'uta mavumbii
D
ukanibariki
G
C
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
G
Niliyekuwa sifai, umenibariki
D
Verse 4
G
Elishadai (Only you)
C
Only you Jesus (Jesus)
G
Ni wewe unanitoa dhambi (only you)
D
Ni wewe unaefaa (my God)
G
C
G
D
Only you
G
Kila njia ya mtu ni sawa,
C
G
machoni pake mwenyewe
D
G
D
G
Bali bwana upima mioyo
C
Mawazo tuliyonayo nafaham
G
naweza kujiona watakatifu
D
Ila mbele zake hasara roho ni
C
Jinyenyekeze mbele zake
G
tupate thawabu milele
D
Kwa kumtumikia yeye tu
C
G
anaokoa halo halo halo
C
Nitapolemewa na mizigo
G
Magonjwa na mateso sina
D
G
wasiwasi tena
C
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
G
Gongo Lako na fimbo yako
vinanifarijii bwana
D
Verse 5
G
Umenifanya wa thamani umenitoa
G
Umenikung'uta mavumbi,
D
ukanibariki
G
C
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
G
D
Niliyekuwa sifai, ukanibariki
Iyee
Verse 6
G
C
Only you Jesus
G
Simba wa yuda (Only you)
Hakuna kama wewe (Only
C
Nitang'ang'ana na wewe (Jesus)
D
Ni wewe pekee yako tu (my God)
C
Baba wa huruma ehh (Jesus)
G
Mwingi wa rehema ehh (Only you)
D
Hakuna kama wewe (My God)
Mwenye kutoa buree (only
Unayetupenda (Jesus)
C
G
Only you
Baba yangu
Как бы вы оценили эту песню?
ТюнерE A D G B E
АккордыG C D
Связанные песни
Найдите и играйте аккорды для самых разных песен
Популярные аккорды во всём мире
Самые популярные аккорды и табы среди всех пользователей
