Тональность: C major
Intro 1
C
G
C
F
C
G
Verse 1
F
angechangua watu wake
C
G
Mimi singekuwepo duniani
C
F
Kama Mungu angechagua watakatifu
C
G
Mimi singekuwepo duniani
Verse 2
C
F
Mimi binadamu, wala si malaika
C
G
Mengi nimekosea na kukuchukiza
C
F
Mi nafanya mambo yasiyo stahili
Nimevuruga vuruga mi
G
Wanihurumia
C
F
Mbele ya macho ya wanadamu
C
Nilikuwa nikijificha
Verse 3
C
Kwa kujifanya mtakatifu
C
Nilikuwa mnyenyekevu
Verse 4
C
Kwa kujifanya mtakatifu
C
Kwenye Ibada mnyenyekevu
Verse 5
C
Kumbe Mungu, unaniona
F
Macho yako, yanitazama
C
Sikio lako, yanisikia
Verse 6
F
Macho yako yanitazamae
C
Sikio lako, yanisikia
Interlude 1
Siwezi jificha
G
C
F
C
G
Verse 7
C
Sasa nimetambua, mbivu na mbichi ni zipo
F
C
G
Sasa ninaelewa, njia salama ni wapi
C
F
Na nimejua bila ya wewe sifiki
C
Hata nikila pasipo neno
Verse 8
C
Neema yako, ila kwa neema yako
F
Upendo wako, kwa upendo wako
C
G
Rehema zako zimeniimarisha tena
Verse 9
C
Neema yako, ila kwa neema yako
F
Upendo wako, kwa upendo wako
C
G
Rehema zako zimeniimarisha tena
Verse 10
C
F
Mbele ya macho ya wanadamu
C
Nilikuwa nikijificha
C
Kwa kujifanya mtakatifu
C
Nilikuwa mnyenyekevu
Verse 11
C
Kwa kujifanya mtakatifu
C
Kwenye Ibada mnyenyekevu
Verse 12
F
Macho yako, yanitazamae
C
Sikio lako, yanisikia
Verse 13
C
Kumbe Mungu, unionae
F
Macho yako, yanitazamae
C
Sikio lako, yanisikia
Outro 1
Eh
C
F
C
G
C
F
C
G
Как бы вы оценили эту песню?
ТюнерE A D G B E
АккордыC G F
Связанные песни
Найдите и играйте аккорды для самых разных песен
Популярные аккорды во всём мире
Самые популярные аккорды и табы среди всех пользователей
